”Watendaji Wizara ya Maji fanyeni kazi kwa kasi na kwa uadilifu”,Waziri Aweso.

Waziri wa Maji Jumaa Aweso  amefungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Sekta ya Maji na amewataka Watendaji Wakuu wa Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Maji kufanya kazi kwa kasi, uadilifu na uwajibikaji ili lengo la serikali la kutoa huduma bora ya majisafi lifanikiwe hasa akisisitiza kufanyiwa kazi eneo la Takwimu. Waziri Aweso ameainisha kuwa